STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amemtupia vijembe mpenzi wake Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram usiku huu akionekana kuchukizwa na tabia ya staa huyo kupenda maisha ya starehe zisizo na faida.
Diamond Platnumz.
Katika ujumbe huo,soma zaidi hapa
THE MOST APPROPRIATE WAY TO GET TANZANIAN STREET NEWS, GOSSIPS, STORIES, LIFESTYLE AND REAL LIFE ACTIONS............
Friday, August 15, 2014
Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu
Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi imepelekea woga mkubwa kwa baadhi ya wengi wetu.
Kwa kuanzia yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi.
Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili linachagiwa sana na mzunguko mzuri wa damu. Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki.
Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA).
Maandalizi ya mwili. Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri.
Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride)
Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done
MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50’’ kila siku na ‘’SQUARTS’’ . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya
Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi
Kwa kuanzia yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi.
Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili linachagiwa sana na mzunguko mzuri wa damu. Mwili ukiwa kwenye hali nzuri kiafya na tendo huwa linaenda ipasavyo. Na mwili ukiwa dhoofu basi tegemea tukio dhoofu pia. Hivyo ukitaka kuwa na matokeo mazuri kwenye ndoa yako, jitahidi sana kujiweka vizuri kwa kula sahihi na kufanya mazoezi mepesi mepesi tu kwa wale wanaoweza kuutumia muda vizuri wapiti pite Gym walau siku mbili na kuendelea kwa wiki.
Kufahamu kuwa kupumzika kwa uume baada ya baada kufika mara ya kwanza sio tatizo. Kwa wanaume walio wengi, baada ya mshindo wa kwanza hupumzika kidogo kabla ya kuendelea na awamu nyingine. Japo kuna ambao wana uwezo wa kuendelea moja kwa moja bila kupumzika (law ya use and misuse inahusika kwa wengine apa). Kwa hio kusinyaa kwa uume baada ya mshindo wa kwanza, isifahamike kuwa ni upungufu wa nguvu bali ni ajdustiment ya mwili wenyewe kutokana na kwamba mwanaume kabla ya tendo mapigo ya moyo huongezeka na huchangia damu kwenda kwa kasi, na kwa hali hio anakua yupo juu sana kimhemko, inapofikia anamaliza raundi ya kwanza mwili unakua unapoa /umesharudi kwenye hali yake ya kawaida, ndiko kunakosababisha hio maneno kusinyaa kwa wengi wakati mapigo ya moyo yanaporudi kawaida (MWILI KUPOA).
Maandalizi ya mwili. Wanaume tupo tayari muda wote… ila linapokua swala ya mwenza wako (kwa kuwa muda unaotumia kwa maandalizi na tendo una uhusiano wa moja kwa moja na satisfaction ya mwenzio)… unahitaji muda angalao nusu saa na kuzidi kujiandaa na mwenzi wako. Kama timu ya mpira inapoenda ugenini huhitaji muda kuzoea mazingira, ndio na mwanaume anavyohitaji muda kuzoea mazingira ya ugenini. Hili linakusaidia sana mwanaume kutoka kwenye mihemko na kurudi kwenye hali yako ya kawaida ambayo itakusaidia kuwa na muda mzuri zaidi wa kufurahia tendo. Jitahidi pia kuvuta pumzi nyingi ndani na uiachie polepole kukusaidia kukuweka kwenye utulivu mzuri.
Timing ya kuanza tendo: Kwa kuwa tendo linahusisha sana hisia za mwili, ukiwa umetumia muda unaotosha kuandaana, basi usiwe na papara mwanzoni, bali uwe na utulivu, pia jitahidi kuzungumza moja mawili wakati unaanza kuzoea mazingira mengine (core business) EPUKA UHARAKA na kuweka sana akili yako hapo, jinafikie mwenyewe kuwa its just a normal thing (mental pride)
Concetration/ Umakini uliopitiliza… Unapaswa kumfanya mkeo aweke akili yake yote hapo, na wewe unatakiwa katika kumuweka mkeo kwenye concentration uuharibu umakini wako (level of concentration). Ukiweka concentration ya juu sana kwenye tendo… haikuchukui dakika mbili umemaliza, na kuirudisha tena ile hali ya concentration uliokua nayo mwanzo itakuwia ngumu sana….. Usiweke sana akili yako hapo kama unataka kufurahia kwa muda zaidi. ila kama hutaki kudumu.. weka akili na umahini wako hapo woote.. just seconds or a minute you are done
MAZOEZI ya mwili ni muhimu sana sana sana sana sana kwetu wanaume. Kama huna muda wa kwenda jimu walau ukiamka piga ‘PUSH-UPS walau 50’’ kila siku na ‘’SQUARTS’’ . haya ni mazoezi mepesi lakini ni BORA zaidi kwa mwanaume. Kwetu sisi wanaume tunatumia sana misuli yetu wakati huu, kwa hio kuna ulazima wa kutafuta ustahimilivu wa misuli ''mussle strength n perseverance''. Hio kitu ni starehe na unatakiwa baada ya tendo uwe umekuwa refreshed na sio uwe unaumwa kila mahali na sijui joints zinauma sijui nini nini? ukijiona unakuwa hivyo baada ya tendo ujue mwili wako haujakaa fiti ipasavyo kimazoezi/kiafya
Pia Afya ya Akili inahusika sana, Japo inahitaji jitihada makhususi... lakini kila mtu ana uwezo wa kuchagua nini cha kufikiria na nini si cha fikiria(kupuuzia) na pia akienda hatua zaidi anaweza kupuuza kila kitu kwa wakati fulani kama unajua una huo uwezo na ukaamua kuutumia. Pia kuchagua kufikiri yale yaliopo kwenye uwezo na urefu wa kamba yako pekee; vitu usivyo na uwezo navyo utajisumbua tu bure na kujipa stress zaidi. Weka nguvu na jitihada zako kwenye kutafuta ufumbuzi wa changamoto zako, jifunze na acha kufikiria matatizo kwa maana hakubadilishi kitu na yataendelea kuwa hivyo n.k n.k................ Ukiwa na namna nzuri ya kuyachanganua mambo yako utasaidika sana kwenye afya ya akili yako na kuwa vizuri zaidi
Thursday, August 14, 2014
ASKOFU WA KANISA LA ASSEMBLIES OF GOD JELA MIAKA 32 KWA UPORAJI BENKI WA FEDHA ZAIDI YA BILIONI 5.3
Ni Jumanne Kilongola wa Arusha, amehukumiwa kifungo cha miaka 32 jela baada ya kupatikana na hatia ya uporaji katika Benki ya NBC, Tawi la Moshi mei 21, 2004.”
“Wamo pia Wakenya watano wote wanahukumiwa kwa kupora Sh5.3 billion, ndani ya Benki ya NBC.”
“Hukumu hiyo inafanya idadi ya waliofungwa kwa uporaji huo kufikia 12, baada ya Watanzania wanne kufungwa kwa kosa hilohilo Desemba 13, mwaka 2006.”
Chanzo: MWANANCHI.
“Wamo pia Wakenya watano wote wanahukumiwa kwa kupora Sh5.3 billion, ndani ya Benki ya NBC.”
“Hukumu hiyo inafanya idadi ya waliofungwa kwa uporaji huo kufikia 12, baada ya Watanzania wanne kufungwa kwa kosa hilohilo Desemba 13, mwaka 2006.”
Chanzo: MWANANCHI.
Wednesday, August 13, 2014
MAITI YA MTANZANIA YAWEKWA MOCHWARI KWA MIEZI NANE(8)
Majonzi vilitawala katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Agosti 7, mwaka huu kufuatia kuwasili kwa mwili wa mwanafunzi wa kidato cha nne, Habiba Yusuph Ally (24) aliyefariki dunia kwa kubakwa nchini China miezi nane iliyopita.Tukio hilo linaweka historia ya kusikitisha kwenye familia ya mzee Yusuph Ally kwa kuwa na msiba miezi nane wakati mwili wa binti yake ukiwa mochwari nchini humo baada ya kifo chake.
KWA NINI MIEZI NANE?
Baba wa marehemu alisema kilichosababisha maiti ya binti yake ikae mochwari kwa muda wote huo ni utafutaji wa fedha kuwa mgumu lakini hatimaye Watanzania waishio nchini humo walifanikisha na kuuleta kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates.
ALICHOKIONA BABA CHAMSHTUA
Mara baada ya mwili huo kuwasili,kilifika kipengele cha kufunuliwa ili baba mzazi amtambue marehemu ambapo zoezi hilo lilimshtua mzee huyo kufuatia kuuona uso wa mwanaye ukiwa na majeraha kibao huku tumbo likiwa limeshonwa. Ilidaiwa ulifanyiwa uchunguzi.
MWILI WAPELEKWA NYUMBANI
Baada ya hapo, mwili huo ulipekekwa nyumbani kwa mzee Yusuph kwa ajili ya kuagwa na siku iliyofuata, Agosti 8, mwaka huu ukazikwa kwenye Makaburi ya Magomeni Mikumi jijini Dar es Salaam.
HABIBA ALIVYOKUFA
Maelezo ya habari yaliyotolewa na rafiki wa karibu wa Habiba aitwaye Saada yalisema siku ya tukio, marehemu alikutana na Mnigeria mmoja ambaye walipatana kulala wote kwa usiku mzima.
Alisema kumbe Mnaigeria huyo alikuwa na wenzake wanne. Usiku walimwingilia wote kwa nguvu mpaka akapoteza maisha palepale. Ulikuwa ukatili mkubwa.
Watu hao walipogundua Habiba amefariki dunia waliuchukua mwili wake na kuutupa chini kutoka ghorofa ya tano walikokuwa wamempeleka kulala naye.
Habari zaidi zilidai kuwa madaktari waliokuwa wakiuchunguza mwili wa Habiba waligundua haukuwa na figo na moyo jambo lililozidi kuzua hofu juu ya mauaji yake.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mzee Yusuph juzi, Wanigeria hao walikamatwa na jeshi la polisi nchini humo na kufikishwa mahakamani kwa kudaiwa kuua.
Alisema mara baada ya kifo, polisi nchini humo waliizuia maiti yake kwa muda ili kupisha upelelezi zaidi na baada ya kukamilika ndipo Watanzania walioko huko wakaanzisha mchango wa fedha kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania, China na kuusafirisha mwili wake.
MBONGO
Mtanzania anayeishi kwenye Mji wa Guangzhou nchini China (jina tunalo) ambaye alidai nguvu kubwa ilitumika kuchangishana fedha ili kuuleta Bongo mwili wa marehemu Habiba.
ATOA USHAURI
Mbongo huyo anayefanya biashara nchini humo alitoa ushauri kwa Watanzania wenye ndugu China kuwa makini nao kwa vile wengi wakifa, kama hakuna moyo wa kuchangiana huzikwa na taasisi zinazosimamia kazi hizo lakini ikibainika kuwa kuna michango inayoendelea, mwili unaweza kuwekwa mochwari hata miaka miwili.
HISTORIA YA MAREHEMU HABIBA
Marehemu Habiba aliondoka Bongo kwenda China mwaka 2010 akiwa na miaka 19 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kiluvya, Kinondoni, Dar kufuatia kurubuniwa na mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Chausiku.
Chanzo cha habari: GPL
KWA NINI MIEZI NANE?
Baba wa marehemu alisema kilichosababisha maiti ya binti yake ikae mochwari kwa muda wote huo ni utafutaji wa fedha kuwa mgumu lakini hatimaye Watanzania waishio nchini humo walifanikisha na kuuleta kwa ndege ya Shirika la Ndege la Emirates.
ALICHOKIONA BABA CHAMSHTUA
Mara baada ya mwili huo kuwasili,kilifika kipengele cha kufunuliwa ili baba mzazi amtambue marehemu ambapo zoezi hilo lilimshtua mzee huyo kufuatia kuuona uso wa mwanaye ukiwa na majeraha kibao huku tumbo likiwa limeshonwa. Ilidaiwa ulifanyiwa uchunguzi.
MWILI WAPELEKWA NYUMBANI
Baada ya hapo, mwili huo ulipekekwa nyumbani kwa mzee Yusuph kwa ajili ya kuagwa na siku iliyofuata, Agosti 8, mwaka huu ukazikwa kwenye Makaburi ya Magomeni Mikumi jijini Dar es Salaam.
HABIBA ALIVYOKUFA
Maelezo ya habari yaliyotolewa na rafiki wa karibu wa Habiba aitwaye Saada yalisema siku ya tukio, marehemu alikutana na Mnigeria mmoja ambaye walipatana kulala wote kwa usiku mzima.
Alisema kumbe Mnaigeria huyo alikuwa na wenzake wanne. Usiku walimwingilia wote kwa nguvu mpaka akapoteza maisha palepale. Ulikuwa ukatili mkubwa.
Watu hao walipogundua Habiba amefariki dunia waliuchukua mwili wake na kuutupa chini kutoka ghorofa ya tano walikokuwa wamempeleka kulala naye.
Habari zaidi zilidai kuwa madaktari waliokuwa wakiuchunguza mwili wa Habiba waligundua haukuwa na figo na moyo jambo lililozidi kuzua hofu juu ya mauaji yake.
Hata hivyo, kwa mujibu wa mzee Yusuph juzi, Wanigeria hao walikamatwa na jeshi la polisi nchini humo na kufikishwa mahakamani kwa kudaiwa kuua.
Alisema mara baada ya kifo, polisi nchini humo waliizuia maiti yake kwa muda ili kupisha upelelezi zaidi na baada ya kukamilika ndipo Watanzania walioko huko wakaanzisha mchango wa fedha kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania, China na kuusafirisha mwili wake.
MBONGO
Mtanzania anayeishi kwenye Mji wa Guangzhou nchini China (jina tunalo) ambaye alidai nguvu kubwa ilitumika kuchangishana fedha ili kuuleta Bongo mwili wa marehemu Habiba.
ATOA USHAURI
Mbongo huyo anayefanya biashara nchini humo alitoa ushauri kwa Watanzania wenye ndugu China kuwa makini nao kwa vile wengi wakifa, kama hakuna moyo wa kuchangiana huzikwa na taasisi zinazosimamia kazi hizo lakini ikibainika kuwa kuna michango inayoendelea, mwili unaweza kuwekwa mochwari hata miaka miwili.
HISTORIA YA MAREHEMU HABIBA
Marehemu Habiba aliondoka Bongo kwenda China mwaka 2010 akiwa na miaka 19 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kiluvya, Kinondoni, Dar kufuatia kurubuniwa na mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina moja la Chausiku.
Chanzo cha habari: GPL
UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI(UKAWA) WATANGAZA KUANZA MAANDAMANO NCHI NZIMA
UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI UKAWA
watangaza kufanya maandamano nchi nzima endapo Rais hatatumia mamlaka yake kusitisha Bunge la Katiba linaendelea mini Dodoma.
Leo viongozi hawa wametangaza kuanza kwa maandamano nchi nzima pamoja na mikutano ya Hadhara kupinga shughuli zote zinazoendelea kufanywa na wajumbe mbalimbali kutoka vyama mbalimbali pale bungeni.
Pia wametoa rai kwa mheshimiwa rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye yupo ziarani nje ya nchi juu ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi zinazotumika kila siku katika shughuli ambazo zinatakiwa zichunguzwe na msimamizi wa mahesabu was serikali.
watangaza kufanya maandamano nchi nzima endapo Rais hatatumia mamlaka yake kusitisha Bunge la Katiba linaendelea mini Dodoma.
Leo viongozi hawa wametangaza kuanza kwa maandamano nchi nzima pamoja na mikutano ya Hadhara kupinga shughuli zote zinazoendelea kufanywa na wajumbe mbalimbali kutoka vyama mbalimbali pale bungeni.
Pia wametoa rai kwa mheshimiwa rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye yupo ziarani nje ya nchi juu ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi zinazotumika kila siku katika shughuli ambazo zinatakiwa zichunguzwe na msimamizi wa mahesabu was serikali.
Tuesday, August 12, 2014
MTOTO AMUUA BABA AKE KWA KUMPIGA FIMBO KICHWANI
Jeshi la Polisi mkoani humo, linamshikilia, Christofa Nestori (25) mkazi wa mjini humo, kwa kosa la kumpiga fimbo ya kichwani Baba yake mzazi, Nastori Christian (60), na kupelekea kifo chake wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Huruma iliyopo Rombo- Mkuu, katika Wilayani Rombo mkoani humo.endelea hapa
BABA AMUUA MWANAE KWA KIPIGO CHA FIMBO
Katika mkoa wa Kilimanjaro Baba mzazi wa mtoto mwenye umri wa miaka minne, kamcharaza viboko mwanae katika sehemu mbalimbali za mwili wake na kumsababishia kifo chake muda mfupi na kisha kutokomea kusikojulikana mkoani Kilimanjaro.
Katika tukio hilo lililotokea Agosti 10, 2014 ambapo mtoto Nikolaus Morisi (04), mkazi wa Kijiji cha Kanji, Tarafa ya Kirua Vunjo, katika wilaya ya Moshi-vijijini, mkoani humo alikutwa akiwa amekufa pembezoni endelea hapa
Katika tukio hilo lililotokea Agosti 10, 2014 ambapo mtoto Nikolaus Morisi (04), mkazi wa Kijiji cha Kanji, Tarafa ya Kirua Vunjo, katika wilaya ya Moshi-vijijini, mkoani humo alikutwa akiwa amekufa pembezoni endelea hapa
KUAHIRISHWA KWA BUNGE LA KATIBA
Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania anatarajiwa kuahirisha Bunge Maalum la Katiba ili kusaka suluhu baina ya CCM na Ukawa, imethibitishwa.
Tayari kamati ya uongozi ya Bunge maalum la Katiba imetaarifiwa kuhusu suala hilo na sasa inalijadili kabla ya kumpa rais Kikwete taarifa itakayopelekea kuahirisha bunge hilo.Hii inafuatia msimamo wa UKAWA na msimamo mpya wa baadhi ya wabunge wa CCM wa bunge hilo kuanza kupanga kulisusia kama litaendelea kwa namna lilivyo.
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa ambazo zinatoka ikulu ya Tanzania ni kwamba kuna kikao ambacho kinatarajiwa kufanyika punde tu rais Kikwete atakaporejea kutoka nje na hii ni baada ya kuahirisha Bunge hilo maalum ili kuanza mchakato wa kusaka maridhiano katika mchakato wa katiba mpya unaoendelea. Aidha shinikizo hilo limefuatia baada ya wabunge wengi wa CCM wanaounda Bunge Maalum la Katiba kutishia kuususia mchakato wa katiba mpya unaoendelea. Pia wajumbe hao wameonya kwamba ni lazima kila kiungo kinachoshiriki kuiunda katiba hiyo kiheshimiwe na hasa tume ambayo wamedai kuwa inavunjiwa heshima na watu wasioelewa nini maana ya mchakato wa katiba.
Kutakuwapo na kikao ambacho kitawashirikisha viongozi wakuu wa serikali,viongozi wa bunge maalum lakatiba na wajumbe wa tume ambapo watautafakari upya mchakato huo na kisha kuomba maridhiano na UKAWA ili kuendelea na bunge hilo, imethibitishwa.
Aidha CCM inaelekea kubadili msimamo na sasa kuna uwezekano mkubwa wa kurudia kulijadili suala la serikali tatu ambazo hazitaathiri kwa kiasi kikubwa muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama wananchi walivyopendekeza.Lakini chanzo hicho kutoka ikulu ya Tanzania kimeonya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano bado atakuwa na madaraka makubwa ili kuzuia uwezekano wa kuvunjika kwa Muungano.
Tayari kamati ya uongozi ya Bunge maalum la Katiba imetaarifiwa kuhusu suala hilo na sasa inalijadili kabla ya kumpa rais Kikwete taarifa itakayopelekea kuahirisha bunge hilo.Hii inafuatia msimamo wa UKAWA na msimamo mpya wa baadhi ya wabunge wa CCM wa bunge hilo kuanza kupanga kulisusia kama litaendelea kwa namna lilivyo.
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa ambazo zinatoka ikulu ya Tanzania ni kwamba kuna kikao ambacho kinatarajiwa kufanyika punde tu rais Kikwete atakaporejea kutoka nje na hii ni baada ya kuahirisha Bunge hilo maalum ili kuanza mchakato wa kusaka maridhiano katika mchakato wa katiba mpya unaoendelea. Aidha shinikizo hilo limefuatia baada ya wabunge wengi wa CCM wanaounda Bunge Maalum la Katiba kutishia kuususia mchakato wa katiba mpya unaoendelea. Pia wajumbe hao wameonya kwamba ni lazima kila kiungo kinachoshiriki kuiunda katiba hiyo kiheshimiwe na hasa tume ambayo wamedai kuwa inavunjiwa heshima na watu wasioelewa nini maana ya mchakato wa katiba.
Kutakuwapo na kikao ambacho kitawashirikisha viongozi wakuu wa serikali,viongozi wa bunge maalum lakatiba na wajumbe wa tume ambapo watautafakari upya mchakato huo na kisha kuomba maridhiano na UKAWA ili kuendelea na bunge hilo, imethibitishwa.
Aidha CCM inaelekea kubadili msimamo na sasa kuna uwezekano mkubwa wa kurudia kulijadili suala la serikali tatu ambazo hazitaathiri kwa kiasi kikubwa muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama wananchi walivyopendekeza.Lakini chanzo hicho kutoka ikulu ya Tanzania kimeonya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano bado atakuwa na madaraka makubwa ili kuzuia uwezekano wa kuvunjika kwa Muungano.
RAIS WA KENYA UHURU KENYATA AKICHEZA WIMBO WA NARUDI NYUMBANI BY NAMELESS
Raisi Uhuru kenyata acheza wimbo wa NARUDI NYUMBANI ulioimbwa na msanii NAMELESS akiwahimiza wakenya wanaoishi nje ya Kenya kurudi na kuja kuwekeza na kuleta maendeleo nchini kwao, click hapa chini upate kuona
pata kuangalia kupitia hapa
CHADEMA YAFUKUZA MAKADA MBALIMBALI KWA TUHUMA ZA KUTAKA KUKIGAWA CHAMA,MBUNGE VITI MAALUMU AHUSISHWA............
Katika kikao cha kamati ya jimbo kilichoketi jana kiliibuka na maamuzi mazito na mema kwa uhai wa chama ambapo Maliselina simbasana diwani viti maalum (kagu) amevuliwa uanachama na kamati kuu jimbo la Geita kwa tuhuma za kukihujumu chama hicho akishirikiana na makada kadhaa wa chama hicho ambao walikuwa ni viongozi ndani ya chama hicho.
Hatu hiyo ya kumnyang'anya kadi ya chama imekwenda sambamba na kuwaandikia barua wanachama washirika wa Marcelina ambao ni:
Daudi sunzu katwale mjumbe kutoka mkoa wa geita kwenda ziwa magharibi
Gabriel Nyasilu mwanachama
Focus Mpogomi mwanachama
Deogratus shinyanga mwanachama
Mabula ndoshi mwenyekiti kitongoji cha tambukareli
Jackon j Mabula mwanachama
Mutta Robert mwanachama
Yukuli dandali mwanachama
Happy Bwenge mwanachama
Josephine mwika mwenyekiti wa chama Kata ya mtakuja
Barua inawataka wajieleze kwanini wasifukuzwe uanachama?
Makosa wanayotuhumiwa nayo ni KUKIGAWA cha kwa kushirikia na Mbunge wa CCM Vick Kamata kukihujumu chama hicho, ambapo idara ya ulinzi ya chama iliwasilisha ushahidi wa video na sauti jambo lililopolekea watuhumiwa kukiri kosa.
Kuwatusi viongozi wa kanda mitandaoni tena kwa kutumia Id (Mutta Robert mwanachama) zao halisi, kuwatusi viongozi wa jimbo bila kufikisha malalamuko yao kwenye vikao husika.
Kuiba nyaraka za chama na kuzipeleka kwa Vick Kamata wa ccm.
Kufanya vurugu kila inapotakiwa kuitisha vikao vya kamati kata na wilaya.
Kuunda mtandao wao wakugombea ubunge Geita kinyume na utaratibu, idara ya ulinzi imejiridhisha pasina shaka (kwa vielelezo) kuwa walikuwa wakifadhiriwa na Vick Kamata wa ccm kwa malengo ovu dhidi ya chadema.
Monday, August 11, 2014
PATA MATOKEO YA MECHI ZA JANA DUNIANI KOTE KUPITIA HAPA
LIGA
MX
|
||||
FT
|
![]() |
0 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
0 - 0
|
![]() |
FRENCH
LEAGUE 1
|
||||
FT
|
![]() |
1 - 2
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
2 - 0
|
![]() |
COPPA
ITALIA
|
||||
FT
|
![]() |
0 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
1 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
2 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
2 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
5 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
3 - 2
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
1 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
1 - 0
|
![]() |
|
AET
|
![]() |
2 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
5 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
2 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
4 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
3 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
0 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
6 - 0
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
3 - 2
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
5 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
1 - 2
|
![]() |
CLUB
FRIENDRIES
|
||||
FT
|
![]() |
3 - 1
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
1 - 2
|
![]() |
|
FT
|
![]() |
4 - 0
|
![]() |
Subscribe to:
Posts (Atom)