MTOTO AMUUA BABA AKE KWA KUMPIGA FIMBO KICHWANI
Jeshi la Polisi mkoani humo, linamshikilia, Christofa Nestori (25) mkazi wa mjini humo, kwa kosa la kumpiga fimbo ya kichwani Baba yake mzazi, Nastori Christian (60), na kupelekea kifo chake wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Huruma iliyopo Rombo- Mkuu, katika Wilayani Rombo mkoani humo.endelea hapa
No comments:
Post a Comment