Thursday, August 7, 2014

SPORTS NEWS; PEPE REINA NA TIMU YA BAYERN MUNICH



Mabingwa wa ujerumani msimu uliopita klabu ya Bayern Munich au ‘THE BAVARIAS’ wapo katika mpango wa kumsajili goalkeeper namba mbili Pepe Reina wa timu ya MAJOGOO WA JIJI Liverpool na pepe reina aelekea kukubali ofa hiyo na kuihama timu ya Liverpool baada ya kufanyiwa vipimo vya afya.
Pepe Reina ni raia wa nchi ya Hispania  amekosa kuwa chaguo la kwanza la kocha Brendan Rogers katika msimu uliopita baada ya kusajiliwa kwa goalkeeper Simon Mignolet ambaye ni namba moja wa Liverpool akitokea katika ligi bora duniani ya Serie A katika timu ya Napoli.

No comments:

Post a Comment