Thursday, August 7, 2014

ISMAIL ADEN RAGE APATA AJALI JUZI



Mwenyekiti mstaafu  wa Simba  Ismail Aden Rage alilazwa jana katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma General, alinusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma iliyomsababishia kujeruhiwa sehemu mbalimbali pamoja na watu aliokuwa akisafiri nao.
Alikuwa njiani akielekea katika vikao vya bunge la katiba mjini humo

No comments:

Post a Comment