Saturday, August 2, 2014

MTAA KWA MTAA BLOG : PICHA ZA AJALI YA BASI LA MORO BEST

Hayo ni mabaki ya basi la MOROBEST baada ya kugongana na lori eneo la pandambili mida ya saa mbili asubuhi
Hayo ni mabaki ya lori lililosababisha ajali ambapo dereva na utingo wake walikufa papo hapo
Hao ni baadhi ya majeruhi 56 wa ajali hiyo
wananchi wakiendelea kutoa msaada katika eneo la ajali
wananchi wakiendelea kutoa msaada katika eneo la ajali

No comments:

Post a Comment