Miezi miwili iliyopita msanii Ney wa mitego alianika utajiri wa ajabu zikiwemo nyumba nne na gari moja ya kisasa Nissan Murano!! Ambapo aliyekuwa Manager wa Ney amesema tangu aachane na Ney miezi 7 iliyopita alikuwa hana hata nyumba moja.
Ameshangaa kumuona ana nyumba nne ghafla lakini manager amesema inawezekana jamaa anatafuta kiki ili watu wanaomuita kwenye show wafikirie kumpa mpunga mrefu na si laki laki wanazolipwa kwenye fiesta pia kujitengenezea umaarufu kwa mashabiki zaidi ya ule anaoupata kwa kuimba.
Amefunguka kwamba Ney kuwa na hizo nyumba basi itakuwa ni miujiza.
Lakini NEY tuliweza kumtafuta ili atupe taarifa zaidi hakuweza kuongelea swala hill...............
No comments:
Post a Comment